Elimu SACCOS Limited

REG: PRI-MRG-MOR-MC-2022-1156

Jengo la CWT Mkoa, Nunge, Mtaa wa Soko, S.L.P 2164, Morogoro. www.elimusaccos.co.tz  ·  info@elimusaccos.co.tz  ·  0684 113743 / 0653 492956

Fomu ya Maombi ya Uanachama

Sehemu 1

Taarifa Binafsi za Mwombaji

Sehemu 1 (inaendelea)

Mawasiliano

Tutatumia taarifa hizi kukujulisha hatua ya maombi yako.

Sehemu 2

Taarifa za Mdhamini

Mdhamini lazima awe mwanachama wa ELIMU SACCOS.

Andika tarakimu pekee.

Sehemu 3

Taarifa za Mrithi

Huyu ndiye atakayerithi akiba na hisa zako.

Sehemu 4

Akiba na Uthibitisho

Makato ya kila mwezi ya akiba yatapitia kwenye mshahara.

Tanbihi

  • Kiingilio katika chama ni Tsh 20,000/=.
  • Kiwango cha kuchangia akiba kisipungue Tsh 20,000/= kwa mwezi.
  • Hisa moja ni Tsh 20,000/=. Kila mwanachama anatakiwa awe na hisa 15 zenye thamani ya Tsh 300,000/=.

Hatua ya mwisho

Hakiki Maombi Yako

Pitia kila kitu kabla ya kutuma. Utasaini nakala ya karatasi ofisini.

Elimu SACCOS Imepokelewa

Maombi yako yamepokelewa

Ofisi itapitia maombi yako na kukupa namba ya uanachama baada ya kuidhinishwa. Hifadhi kumbukumbu hii.

Kumbukumbu